Masoko Dijitali 4 Maombi

Kusimamia Mitandao ya Kijamii — Miezi 3

Remote / Dar es Salaam
Iliyotumwa tokea miezi 2
Muda: miezi 3

Maelezo Kamili ya Kazi

Biashara yangu ya vyakula inahitaji mtu wa kusimamia Instagram, Facebook, na TikTok. Angalau machapisho 5 kwa wiki, kujibu macomment, na kutoa ripoti ya mwezi. Una uzoefu wa kufanya biashara za vyakula kukua mtandaoni?
Kwa saa

TZS 200,000 – 350,000 /hr

Tuma kabla ya 1 Aprili 2026

Kuhusu Muajiri

Fatuma Ngozi

Amethibitishwa

Malipo yote yanalindwa na Winga Escrow. Usilipe nje ya mfumo huu.

Ingia Katika Akaunti

Ili kutuma maombi ya kazi hii, tafadhali ingia.